Milioni 710.7 zimetumika kujenga miundombinu ya Pori la Akiba Pande.
Serikali imetumia kiasi cha shilingi milioni 710.7 kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu ya utalii ya Pori la Akiba Pande ili kuhakikisha kuwa pori hilo linaendelea kuwa kitovu cha utalii katika jiji la Dar es Salaam.Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Mary Masanja ameyasema hayo Bungeni jijini Dodoma kwa niaba ya Waziri wa Maliasili
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed